natafuta mbwa kwa ajili ya ulinzi wa nyumbani type German Shepherds

Mfuatiliaji

Senior Member
Joined
Jun 5, 2008
Posts
153
Reaction score
33
German Shepherds



wana jamii nimeona tangazo la mbwa nikakumbuka kuwa nilikuwa natafuta Mbwa kwa mda mrefu sana kwa ajili ya ulinzi wa nyumba wakati nipo kazini BILA MAFANIKIO.
NAPENDELEA ZAIDI AINA YA German Shepherds ILA KAMA KUNA AINA NYINGINE SIO MBAYA

KAMA KUNA MTU ANAMAELEZO WAPI WANAPATIKANA AU WANAUZWA KWA BEI NZURI NITAFURAHI NAHITAJI 2 WASIWE WAKUBWA WAWE WADOGO CHINI YA MIEZI 4

German Shepherds




 
Mkuu kuna bwana mmoja ana shamba la mbwa wazuri sana German Shepherds yuko kimara mwisho, Dar es salaam, anauza laki tatu na nusu hadi nne inategemea, ni wazuri kwa kweli nilinunua kamoja hakajanisumbua hadi leo, if interested nikutumie namba yake
 
Ukishindwa mwone mkuu Nguli yupo hapa hapa JF atakusaidia sana
 
Wakuu hata mimi nawahitaji hao mbwa ile mbaya yake!Mkuu SOKWE WA MJINI naomba namba ya huyu mtu mwenye hao walinzi please!ntakushukuru sana kwa msaada wako
 
Ukishindwa mwone mkuu Nguli yupo hapa hapa JF atakusaidia sana

Ha ha ha ha ha,

Aje nimpe wale na yeye gari yake(maeneo ya plastic) kama walivyokula yangu, wakipata njaa wanakula hadi nyumba ila ni walinzi wazuri kusema kweli na wanafundishika.
 
jamani na mm ninaitaji sana hawa mbwa japo nasikia nigarama sana kuwatunza je ni kweli
 
hao mbwa wapo mitaa ya Namanga best bite... na bei zao ni za maelewano...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…