Natafuta mchepuko wenye maji

Kuna aina nyingi za vyakula tofauti vinavyoweza kumsaidia huyo uliyenaye kuongezeka kwa Maji.
Ungeboresha ulichonacho kuliko kutafuta kitu kipya kwa jirani yako.
Vyakula gan
 
Kama mchumba wako hana maji, waombe DAWASCO[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hahaha majibu yanayoendana na uzi.

Safi sana mkuu!
 
Dj sepengaa
 
Unataka kulima mpunga mkuu sasa umehisi mvua hazitatosha? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ngoja nikufunde mtoto wa kiume;
Huyo mchumba wako una uwezo wa kumfanya atoe hayo maji,
kivipi? nitafute huko pembeni hapa wapare watanishambulia
Hahaha ngoja nije
 
Wanye bomba mkuje huku mnatwa.
Ila wanaume mnavituko [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ngoja nikufunde mtoto wa kiume;
Huyo mchumba wako una uwezo wa kumfanya atoe hayo maji,
kivipi? nitafute huko pembeni hapa wapare watanishambulia
Mbona hakuingiliki huko kwako!
 
Muunganishe na DAWASCO kama uko Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…