Natafuta mchimbaji ama mfanyabiashara wa madini mwenye leseni ya madini aina ya Mica ama Lithium

Toa taarifa kamili, wewe ndio mnunuzi au dalali. Pia sidhani kama leseni ni issue we tangaza kiasi cha mzigo unachotaka na bei yako kisha toa location na namna ya malipo.

Maana story za kusema "nina wazungu wangu" mnawakatosha tamaa watu maana huishia kwenye maneno na sio utebdaji. Weka hizo taarifa hapa na mawasiliano
 
Umenena vema wacha tusubiri maana mwenyewe nina mzigo na sina lolote ninalojua kuhusu haya madini , so tunahitaji details tupate pa kuanzia
 
Natumae mleta mada ulipata muongozo...
 
Kama unatafuta mmunuzi nicheki 0764355802. Hakuna mashariti ilimtadi Iwe lithium kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…