Nami nilikua natafuta mke mwenye sifa kama zako ila umri wangu ni mdogoMimi ni msichana wa miaka 27.mwajiriwa selikalin naishi mbeya. Elim yangu ni shahada ya kwanza. Nimeokoka. Mimi naamin mume au mke mwema anatoka kwa bwana but unaweza kukutana nae popote. Nami nahitaj mwanaume aliyeokoka. Umri kuanzia Miaka 28 elimu kuanzia form four kabila lolote. Awe na Kaz halal ya kumuingizia kipato. Karib pm.
Dogo subiria rika lako huyu tuachie kaka zako.... au unataka kubemendwaNami nilikua natafuta mke mwenye sifa kama zako ila umri wangu ni mdogo
Sawa kaka nimekuelewa shikamooDogo subiria rika lako huyu tuachie kaka zako.... au unataka kubemendwa
Na mimi nataka nikifika umri wa kuoa nimpate mke aliye okoka naweza kuja pm???Ata mim nkifika umri wa kuolewa ntataka kijana aliyeokoka
Acha kumdanganya dada wa watu. ameshaomwomba Mungu sasa ni kuwasaka popote ili maombi yake yafanye kazi. Unataka mchumba amfuate geto? Kaza buti dada ila ungetangaza 'Mkristo' badala ya mlokole. Kuna Wakristo hawajaokoka lakini wanaelewa kuishi na mke kuliko waliookoka.Mume mwema atakuja tu sio kumtafuta jf
Mimi ni msichana wa miaka 27.mwajiriwa selikalin naishi mbeya. Elim yangu ni shahada ya kwanza. Nimeokoka. Mimi naamin mume au mke mwema anatoka kwa bwana but unaweza kukutana nae popote. Nami nahitaj mwanaume aliyeokoka. Umri kuanzia Miaka 28 elimu kuanzia form four kabila lolote. Awe na Kaz halal ya kumuingizia kipato. Karib pm.