Wakuu natafuta mchumba wa kuoa ambaye anasoma Chuo cha Ualimu Tabora ama Chuo Cha Uhazili Tabora aliyetayari kuolewa na asiyejali masuala ya uke wenza.
Sifa za nwanamke huyo:
-Umri kati ya 20 mpaka 30 years
-Awe ni mwelewa
-Ajitambue
-Awe mweusi
-Asivae mawigi
- Awe tayari kufuata dini yangu ya uislamu
Sifa zangu:
-Gentleman with over 40 years of age
-PhD candidate
-Nina mke na watoto watatu
-Ni mtumishi wa serikali kituo changu cha kazi ni Dar.
Am serious.
Please pm and send me your photos and you will be given my contacts.
Post sent using JamiiForums mobile app