Natafuta mchumba anayesoma Chuo Cha Ualimu Tabora

CHUO CHA UHAZILI kina watoto wa ukweli sana aisee...watu wengi humu jf wamepata wake zao wamesoma pale,,,kiukweli watoto wako vizuri cjui kitabia maana tabia na uzuri havitegemeani
 
wana group lao la watsp na wengi madau yao yanaanzia laki tano kwenda mbele sasa kama hauna hizo hela mkuu utaishia kuulizia mrejesho tuu...fungua pochi watoto waje..kuna demu yupo pale crdb alisoma pale wa ukweli sana aisee
Nipatie admini wa hilo group lao mkuu
 
wana group lao la watsp na wengi madau yao yanaanzia laki tano kwenda mbele sasa kama hauna hizo hela mkuu utaishia kuulizia mrejesho tuu...fungua pochi watoto waje..kuna demu yupo pale crdb alisoma pale wa ukweli sana aisee

Hahahahaaah.... Lokiyo, huyu jamaa anahitaji ndoa ya pili
 
CHUO CHA UHAZILI kina watoto wa ukweli sana aisee...watu wengi humu jf wamepata wake zao wamesoma pale,,,kiukweli watoto wako vizuri cjui kitabia maana tabia na uzuri havitegemeani
Tabia labda upate anaehudhuria vipindi vya dini daily,wengi pasua kichwa wale[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…