Natafuta mchumba awe Bikira

Hapa huwezi kupata;labda,uende uarabuni tena kwenye familia bora.
 
kwani lazima upate mia bwana?
 
Jamani,hodi humu jamvini, nimekuwa nikifuatilia saana magreat thinkers na nimeona nijiunge ili nipate mawili matatu kutoka kwenu,hongereni kwa mawasiliano na ushauri wa kujenga,hakika naomba mnipokee na nitajifunza mengi na kushirikishana yale niliyo nayo!
Asanteni
 
wewe mkali
 
Mke mwema lazima uhangaike mkuu hawapatikani kukiwa mezani na kikomputa chako eti aje kwa mtindo huu ahaaaa labda vumilia ila tambua hizo bikra zipo za bandia
 
nakushauri upinguze,ibaki hiyo yenye red!pia na wewe sema umejiandaa andaaje
 
hizo sifa wewe unazo? hasa ya ubikira, je wewe ni bikira, usipende kubebesha mzigo wengine ambao hata wewe huuwezi
 
huwezi kupata, labda mwenye bikra ya bandia
 
Mwana hiyo bikira hapo ndo pagumu,ila kumbuka bikira zipo hata za bandia, kitu tit kama unachana makaratasi kumbe feki...think twice.
 
Bikra hatafutwi,kuoa bikra ni bahati.rejea ROSA MISTIKA-E.KEZILAHABI.
Kaka mke hapatkani JF,na kwa sifa hzo labda tukupe udongo umfinyange mwenyewe.tafta used yenye nafuu ujiolee yaishe.
 
Nawewe toa profile yako wakujue!
 

Punguza viwango vyako vya mchumba umtakaye, vingineyo utaishia ukapera kwa maisha yako yote hapa duniani maana ni nadra sana kumpata mchumba kama huyu umtakaye.
 
Kumbuka ata malaya na machangudoa walizaliwa na Bikra!!! au unataka tu upatesifa ya kuwa na wewe umentoa mtu bikra?? kwanza za kichina zimejaa saaaana......bt ucjali waweza pata bhaana,,,,,ata me natafuta girlfriend wa kuanza naye maisha ila si chagui....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…