Jamani wenye kuvutiwa na bandiko hili fanyeni kweli mwenzenu hana utani anamaanisha.
Elimu yake ya wastani tu, sio degree kama wengine wanavyojitangaza huku jamvini pindi wakitafuta wapenzi.
Nina miaka 32 nina elimu wastan nafanyakaz kampun ya vileo tbl natafuta msichana mwenye umri kati ya miaka 20-kuendelea. Sio utani namaanisha
mimi neno lake la 10.......limenifanya nivutiwe nae ghafla.......ila asiwe Ahmada......
mi nipo katavi
kwani katavi ipo mwanza?nicontact 0764 759 314
...haya jamani fanyeni hima,mlevi anataka mla sato,jitokezeni basi...
mimi neno lake la 10.......limenifanya nivutiwe nae ghafla.......ila asiwe Ahmada......
kwani katavi ipo mwanza?
nikipata simu nitakucallhapana tuwasiliane tu