Natafuta mchumba awe mwanza

mimi neno lake la 10.......limenifanya nivutiwe nae ghafla.......ila asiwe Ahmada......

kwakuwa anauzoefu nazo anaweza hata akamaiza masanduku 2 na bado asionekane Ahmada.
 

Samahani sana Mbuni kama humjui mtu naomba ujimnyamazie, mimi ni kaka sio.....!
Naomba ufute hiyo post yako kabla sijachukua hatua ngumu.
 
Last edited by a moderator:
mbona unanitusi mi c mlevi
..kiongozi samahani sana hukunielewa ila mi sio mbunge, nalimaanisha unafanya kazi kwa wazee wa rangi ya mende,tuko pamoja kiongozi,watakuja tu...
 
..kiongozi samahani sana hukunielewa ila mi sio mbunge, nalimaanisha unafanya kazi kwa wazee wa rangi ya mende,tuko pamoja kiongozi,watakuja tu...

pamoja sana
 
Nina miaka 32 nina elimu wastan nafanyakaz kampun ya vileo tbl natafuta msichana mwenye umri kati ya miaka 20-kuendelea. Sio utani namaanisha

mimi niko mwanza kwa siku 2, je twaweza kuwa wachumba wa hizo siku 2? na dont worry about umri maana ni 20 na kuendelea saana tu!
 
jamani na mimi pia nahitaji mchumba umri wangu miaka 27 elimu kidato cha sita, kazi mjasiriamali, kimo mimi ni mfupi,rangi mimi ni mweusi, mchumba nahtaji kuanzia miaka 18 hadi 25 ani pm ntampa namba zangu
 
mimi niko mwanza kwa siku 2, je twaweza kuwa wachumba wa hizo siku 2? na dont worry about umri maana ni 20 na kuendelea saana tu!

hapana cku 2 no. Bora tuwe marafiki tu
 
jamani na mimi pia nahitaji mchumba umri wangu miaka 27 elimu kidato cha sita, kazi mjasiriamali, kimo mimi ni mfupi,rangi mimi ni mweusi, mchumba nahtaji kuanzia miaka 18 hadi 25 ani pm ntampa namba zangu

Andaa uzi wako na uuitie ndani ya Jamvi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
mie nipo kilimahewa
ila nina miaka 38
nitakidhi vigezo kweli au
bahati imenikosa
 
Elimu yake ya wastani tu, sio degree kama wengine wanavyojitangaza huku jamvini pindi wakitafuta wapenzi.

Nilikuwa sijuwi kuwa degree siyo elimu ya wastani!!?? Hiyo wastani inapimwaje? na Hiyo Elimu ya wastani ni ipi!?? nikutafuta maarifa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…