Natafuta mchumba awe na umri kuanzia miaka 35

Natafuta mchumba awe na umri kuanzia miaka 35

candymarry

Member
Joined
Aug 4, 2012
Posts
32
Reaction score
8
Habari wana JF mimi kiufupi ni mgeni jukwaani,jambo lililonileta hapa ni kufatia busara zenu na naamini wengi wenu ni watu wazima. Mimi ni msichana wa miala 21 na mzaliwa hapa hapa bongo,nimemaliza kidato cha nne mwaka 2002. nafanya kazi halmashauri,natafuta mchumba kama nilivyoeleza hapo juu.mbarikwe sana.
 
Habari wana JF mimi kiufupi ni mgeni jukwaani,jambo lililonileta hapa ni kufatia busara zenu na naamini wengi wenu ni watu wazima. Mimi ni msichana wa miala 21 na mzaliwa hapa hapa bongo,nimemaliza kidato cha nne mwaka 2002. nafanya kazi halmashauri,natafuta mchumba kama nilivyoeleza hapo juu.mbarikwe sana.

Ina maana ulimaliza kidato cha nne ukiwa na miaka 10...kid ur a freakin genius
 
Habari wana JF mimi kiufupi ni mgeni jukwaani,jambo lililonileta hapa ni kufatia busara zenu na naamini wengi wenu ni watu wazima. Mimi ni msichana wa miala 21 na mzaliwa hapa hapa bongo,nimemaliza kidato cha nne mwaka 2002. nafanya kazi halmashauri,natafuta mchumba kama nilivyoeleza hapo juu.mbarikwe sana.
Mchumba tu basi duuu haya... Subiri wanakuja sasaivi
 
Humu ukiamua kudanganya jipange,we ni bookless unavyoonekana,cdhan hata la 7 ulimaliza,hesabu ndo ya kukokotoa hyo imekushnda.
 
WA KUOA AU KUDGEGEDUA..FUNGUKA MAANA WAPO WA AINA NYINGI HUMU:love::wave:
 
Habari wana JF mimi kiufupi ni mgeni jukwaani,jambo lililonileta hapa ni kufatia busara zenu na naamini wengi wenu ni watu wazima. Mimi ni msichana wa miala 21 na mzaliwa hapa hapa bongo,nimemaliza kidato cha nne mwaka 2002. nafanya kazi halmashauri,natafuta mchumba kama nilivyoeleza hapo juu.mbarikwe sana.

wizi2 hawa hakuna Lolote
 
huyu hata kwenye ndoa anaweza akadanganya yaani kaweza kudanganya kwenye umti ninahitaji mchumba lakini cyo kama wwkajipange uje na jina lingne tena
 
Back
Top Bottom