Natafuta mchumba hatimae aje kuwa mke

Natafuta mchumba hatimae aje kuwa mke

Kevoo90

New Member
Joined
Jul 5, 2023
Posts
1
Reaction score
2
Mimi ni mwanaume umri wangu ni miaka 27, natafte mwanamke ambaye ni mcha Mungu seriously na ameokoka, akiwa wa miaka 20-24 itapendeza sana. Kwa sasa nipo ruvuma ila nyumbani ni moshi. Naomba tukutane PM
 
Back
Top Bottom