natafuta mchumba hatimaye mungu akijalia atakuwa mama wa watoto wangu

Shosti pole choice is urs ila hata mimi nimeogopa jambo hilo kwa sababu mtu niliyekuwa naye alikuwa muislam tukashindwa kwenye hili la dini. Kwa dini ni jambo muhimu hasa linapokuja hili suala ndugu zangu .
 
unaweza mwambia hata rafikiyo kama unaona ana vigezo na anauhitaji
 
kama una rafiki yako unaona ana vigezo na uhitaji wa mchumba unaweza kumwambia tu.
 
kwa kweli suala la dini ni siwe muongo mwanamke anabidi awe flexible kuwa mkristo mkatoliki hata kama anavigezo vingine
 
Vigezo vote ninavyo isipokua cha dini maana kanisani naeenda msikitini naenda ninachojua mungu ni mmoja
 
unajua kama uko serious nothing4good ur better choose my way kwani you seems uko flexible.
 
Jamani tunaenda, lakini umri kizee mimi nani atanitaka 🙂
 
hapo iko shughuli! Jaribu kuwa flexible kuhusu hapo red!
mkuu kwa hilo nimetafakari sana sasa issue inakuja unaweza ukachukua mlokole au protestant akawa na misimamo sana hata hataki kusikia huo ukatoliki hapo kwangu ndo kazi
 
umri tu jamani.....kumbe nishazeeka eeeeh!!!!!:A S 13::A S 13:
 


mmh 19 years ? huyo si mtoto bado? subiri kidogo utapata mke mwema. Nina mdogo wangu yupo mwaka wa tatu, miaka 22 sema ni mlutheri.

So hana vigezo unavyotaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…