Natafuta mchumba hili aje kua mke wangu miaka 27-29

Natafuta mchumba hili aje kua mke wangu miaka 27-29

chitanda.nyoka

Senior Member
Joined
May 3, 2012
Posts
193
Reaction score
43
Naitwa Hamisi,kijana wa kitanzania miaka 29,elimu yangu ni diploma,ni mfanyabiasha nahitaji mdada kwa ajili ya kua mke wangu napenda mdada anaependa maendeleo siyo wakutaka mashindano ya nguo mtaani awe na kazi elimu kuanzia diploma awe muislamu asiwe mrefu sanaa!coz me pia cyo mrefu sanaa,asiwe aliyewahi kuolewa na kuzaa,me cjawahi kuoa wala sina mtoto msichana anaehitaji ndoa pls tuwasiliane.
 
Mimi ninavigezo vyote, sijazaa bali nilitoa mimba vipi tuwasiliane?
 
Afadhali unatafta mke,
Mi nilitafta mke nimpe mimba, cjapa!!! Wanawake wa jf ni mabahiliiiiiiiiiiiiiii......
Naitwa Hamisi,kijana wa kitanzania miaka 29,elimu yangu ni diploma,ni mfanyabiasha nahitaji mdada kwa ajili ya kua mke wangu napenda mdada anaependa maendeleo siyo wakutaka mashindano ya nguo mtaani awe na kazi elimu kuanzia diploma awe muislamu asiwe mrefu sanaa!coz me pia cyo mrefu sanaa,asiwe aliyewahi kuolewa na kuzaa,me cjawahi kuoa wala sina mtoto msichana anaehitaji ndoa pls tuwasiliane.
 
Back
Top Bottom