chitanda.nyoka
Senior Member
- May 3, 2012
- 193
- 43
MadameX....umechoropoa ngapi?....Mimi ninavigezo vyote, sijazaa bali nilitoa mimba vipi tuwasiliane?
Vin Diesel, si nyingi, nne tuMadameX....umechoropoa ngapi?....
Naitwa Hamisi,kijana wa kitanzania miaka 29,elimu yangu ni diploma,ni mfanyabiasha nahitaji mdada kwa ajili ya kua mke wangu napenda mdada anaependa maendeleo siyo wakutaka mashindano ya nguo mtaani awe na kazi elimu kuanzia diploma awe muislamu asiwe mrefu sanaa!coz me pia cyo mrefu sanaa,asiwe aliyewahi kuolewa na kuzaa,me cjawahi kuoa wala sina mtoto msichana anaehitaji ndoa pls tuwasiliane.
Join Date : 4th May 2012