St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Unapenda kuendelezwa eeeeh,degree ni moja ya sifa wewe na watoto wake watakula ma......... yako?excuse my language!at least degree ina guarantee.........LOL
Hivi hi JF kuna wakaka single kweli??mbona mi siwaonagi wakichangamkia opportunities ka hizi, my dear ukimpata uje useme ili na ma-single ladies wengine warushe ndoano zao..............LOL
Basi ni vizuri tutengeneze JF Single club,kama wakaka wote hap wako single halafu hapa hapa watu wapo???hivi nani hatofurahi kuambiwa Paka Mweusi na Michelle walikutana hapa JF??ikaanza kama utani then ikawa kweli?manake bwana hamna sehemu maalum ya kukutana na mwenzi wako?????:A S 465::wink2: Mods please,mtoto wetu wa kwanza tunamuita Jamii Forum....................LOL
kwani we michelle vp upo single nin?
Basi ni vizuri tutengeneze JF Single club,kama wakaka wote hap wako single halafu hapa hapa watu wapo???hivi nani hatofurahi kuambiwa Paka Mweusi na Michelle walikutana hapa JF??ikaanza kama utani then ikawa kweli?manake bwana hamna sehemu maalum ya kukutana na mwenzi wako?????:A S 465::wink2: Mods please,mtoto wetu wa kwanza tunamuita Jamii Forum....................LOL
Natafuta mchumba jinsia ya kiume, sina sifa nyingi ni moja tu aweanajua majukumu yake.....kama baba wa familia.......elimu hata ka dergee kamoja kananitosha akiwa juu ya hapo yote heri.
Awe mcha mungu.Muonekano wa nje sijali sana,
kwa atakaye ani PM (am serious):A S 8:
hahahahahaha i like your posts michele:A S 465::A S 465:
Just as i like yours Pauline,miss you.........sijakuona siku mbili hizi?
Natafuta mchumba jinsia ya kiume, sina sifa nyingi ni moja tu aweanajua majukumu yake.....kama baba wa familia.......elimu hata ka dergee kamoja kananitosha akiwa juu ya hapo yote heri.
Awe mcha mungu.Muonekano wa nje sijali sana,
kwa atakaye ani PM (am serious):A S 8:
HA! Wewe wa kike ama wa kiume!??
1. Badili jina kwanza..
2. Weka sifa zako..
3. we shall see how it goes!
Halafu wewe................!!!!!!!!!
Umri wako please......
WAKUCHACHUA ANATAK KUWACHAKACHUA NYIE. HAYA NICALL NIJE KWENYE INTAVIEWWWWW 0712507217:alien::alien::alien::alien::alien:
mi ni wa kike kaka! we unataka sifa zipi ? explain zote utapewa.
jina nichagulie wewe
wakuchakachua una degree ngapi? kama ipo/zipo ni fani gani? isijekua una degree ya lugha ya kiarabu