Natafuta mchumba jamani

Ningeku-PM lakini hilo jina lako mh..
 

heheheehe asitoke machame na hapo chini kwenye ujumbe wako umeandika nini? IRUA AKUNINGE BOOOOOOORA MAYE....SHIWANGE MANKA KWA NKUNDA NKA SHIKUNDA DA KWA NSHILEMA AIKA MAYE......NAKWAFOOOOOOOOO:wink2:
 
Ndio niko single

Naaa na naaaaa huna nia ya kuwa double aaaauuuu we we weee hutaki

ok huna mseeeeeeela anayeziba mwayaaaaaaaa wa wewe kuwa double na wana JF

Samahani kiswahili cha mapenzi kigumu.....?????????
 
mbona haipatika ni jamani..............
ukiona hivyo ujue labda Mungu anakuepusha na kitu Sound za Asubuhi Asubuhi hata kabla hamjaanza..... Inabidi mwanzo uwe all roses... and kisses... sasa mwanzo ukiwa mgumu.....:nono:
 
ukiona hivyo ujue labda Mungu anakuepusha na kitu Sound za Asubuhi Asubuhi hata kabla hamjaanza..... Inabidi mwanzo uwe all roses... and kisses... sasa mwanzo ukiwa mgumu.....:nono:

mmmh kweli mungu ni mwema kwa wote wamwendeao kwa moyo wa utakatifu nami naamini hapa hapa JF atatoka mume maana nilishaomba kwa bwana naye ni mwaminifu kwangu..........ndivyo ninavyo anza mwaka kwa kazi na maombi tu.....na hii ni safari yangu katka kutafuta mume mwema.........oloooolllooooo:sleep:
 
Sijui niseme coz naona AIBU!!!
Ni PM basi nikupe sifa za ENGINEER!!!
 

Mimi ni jiwe kuu walilolikataa waashi.
 
Jamani wana jamvi nitoe taarifa za awali katka mchakato huu! hadi muda huu kuna mtu mmoja ndie anaye shikilia chati kwa PMs, mchakato unaendelea wote mnakaribisha na nitakapo mpata mshindi majina yataandikwa hadharani bila hiyana tutaanza taratibu za ndoa.
Nimesema no kujuana tabia no what ni ndoa direct na maisha yatakuwa salama tu.......
ngojeni muone ......am more than serious
 
si kweli kweli babawatoto......... natafuta hilo jiwe nilione:wink2:

Ewaaa, sasa umefika na utafurahi kunifahamu, na maneno kama ninge....kujua mapaema..... hayataisha maishani mwako, believe me!
Karibu!
 
Ewaaa, sasa umefika na utafurahi kunifahamu, na maneno kama ninge....kujua mapaema..... hayataisha maishani mwako, believe me!
Karibu!
weka basi skype contact zako mbon aumezi freeeezzz
 
Hivi hi JF kuna wakaka single kweli??mbona mi siwaonagi wakichangamkia opportunities ka hizi, my dear ukimpata uje useme ili na ma-single ladies wengine warushe ndoano zao..............LOL

Da michelle mi niko serious, tatizo ni wewe hunielewi/huniamini. Niambie uko s...gle?
 

Mwaka sio wangu huu...:rain:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…