Mkemia kay
Senior Member
- Jan 25, 2020
- 131
- 135
Wapo wengi huku jf mkuu kila la kheri.Kama heading inavyosema mimi ni mwanume aged 30 ni mwembamba mrefu na mweusi nimeajiriwa private company.
Ninatafuta mwanamke aged 20 mpaka 35 awe na kazi au biashara nipo bagamoyo serious one hit my pm
NB serious relationship kuelekea ndoa
Ngoja niendelee kusubili
Kila la kheri mkuu
Vipi wewe jimbo lipo wazi au lina mwenyewe kijana anataka kufanya kweliKila la kheri mkuu
Lishatekwa kitambo sanaVipi wewe jimbo lipo wazi au lina mwenyewe kijana anataka kufanya kweli
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Acha afanye Mapinduzi mimi nitampa silaha na majeshi mradi jimbo limilikiwe na kijana huenda yupo mpweke sana.Lishatekwa kitambo sana
Nadhani washaenda watuAcha afanye Mapinduzi mimi nitampa silaha na majeshi mradi jimbo limilikiwe na kijana huenda yupo mpweke sana.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Labda tumsubiri alete mrejesho.Nadhani washaenda watu
Huwez amini, nimevumilia miezi mingi sana nijue relationship status yako, leo umeweka wazi imenisikitisha.Lishatekwa kitambo sana
Kwanini umesikitika mkuu๐ค๐คHuwez amini, nimevumilia miezi mingi sana nijue relationship status yako, leo umeweka wazi imenisikitisha.
[emoji3][emoji3][emoji3]Huwez amini, nimevumilia miezi mingi sana nijue relationship status yako, leo umeweka wazi imenisikitisha.
Yeah tumsubiri alete
Umeshaumiza wenzako kwa kusema jimbo linamilikiwa.Yeah tumsubiri alete
Sarcasm, nothing too serious ๐ ๐ ๐Kwanini umesikitika mkuu