Natafuta mchumba ,(kwa wadada pekee

Wewe utakuwa una matatizo yaani kule facebook umekosa,msikitini/kanisani umekosa,kazini umekosa,mtaani kwako umekosa,kijijini kwenu umekosa,utakuwa una matatizo na wengi wenu sio waoaji ni wagegedaji.
 
Acha matusi kwani humu hawapo kuna watu wanania ya dhati wewe mpk ulipo mpata mke wako umepitia wangapi? Tabia yako mbaya.
 
Sijakupa uchangie kwa wakina dada pekee,.wanaruhusiwa kutoa maoni, huku ni uwanja wa mahusiano ,urafiki na mapenzi kama huwezi kata kona usichangie pumba.
 
Nita mpata wapi , huyo huyo namtafuta, oficine, kanisani mtaani hakuna.
 
Mmmh.... Na wewe unahakika unastahili kuwa na binti mwenye sifa hizo?
 


dicbig



okay okay........
 

Hapo atapamiaje???
 
ahahaaaa eti sehemu za siri ndogo au wastani? wewe vyako ipoje?besides utapimaje?...wewe unataka kutumega tu huna lolote...
 
Uwezo ninao nguvu ninazo na akili ya kumpata na kukaanaye ninayo. Naajitokeze sasa.
 
Ha ha ha misanitrela kweli wewe hulioni hilo?
 
Wewe mpaka umri huu unataka mwenye mpaka miaka 30, inamaana huna mtu au umeachika au umeumia?
 
Wewe sehemu zako za siri zikoje? Ningependa niku-PM lakini naomba hilo jibu kwanza. Vinginevyo tuondolee hapa kiwingu na kibamia chako.
 
Mimi niko poa urefu 16cm upana 3.4 cm. Hakuna cha bamia wala nini. Ndo upendeleo wangu na napenda type hizo, i think nimekujibu.
 
Sio hivyo mimi niko poa sana kama wataka kujua urefu 16cm na upana diameter 3.4cm. Mapendeleo yangu napenda hivyo, Nadhani umenielewa, lazima niwe mwazi maana hakuna mtu anaye nijua hapa binti.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…