Mimi ni Mwanaume mwenye miaka 26 najitokeza kwa mara ya kwanza katika jukwa hili kwa lengo la hapo juu kwenye heading Nataka kumuoa.
Sifa;
Umri: miaka 19-22
Elimu : Angalau Certificate,Diploma or Degree ya ualimu au Nursing
MUONEKANO
Rangi yeyote asiwe anajichubua
Mrefu wastani kwa sababu mimi nina 5 feet and 8inches
Aliye tayari ani PM nimpe mawasiliano.
Natanguliza shukrani
Majibu ya kejeli na kuelekezana madanguro yalipo sipendi. Kama wewe hausiki piga kimya maisha yaendelee!
Kanisani, Mtaani, Kjjijini kwenu hakuna watu?
CC: FaizaFoxyMimi ni Mwanaume mwenye miaka 26 najitokeza kwa mara ya kwanza katika jukwa hili kwa lengo la hapo juu kwenye heading Nataka kumuoa.
Sifa;
Umri: miaka 19-22
Elimu : Angalau Certificate,Diploma or Degree ya ualimu au Nursing
MUONEKANO
Rangi yeyote asiwe anajichubua
Mrefu wastani kwa sababu mimi nina 5 feet and 8inches
Aliye tayari ani PM nimpe mawasiliano.
Natanguliza shukrani
Majibu ya kejeli na kuelekezana madanguro yalipo sipendi. Kama wewe hausiki piga kimya maisha yaendelee!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ungeongezea awe ni CCM mkuu, ...
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Kwenye red....kutoka vyuo vinavyotambulika.
Ungeongezea awe ni CCM mkuu, ...
Msaidieni jamani maana mwenzenu anawaona wasichana anashindwa kuongea.
TISS at work... hii kitu ya wachumba wa JF ni mwiba sasa hivi .. kuna jamaa yangu wa jf alidakwa hiv hiv na hapa hapa.. alikuwa anatapika kama mange kumbe wanamchora tu.. wakajifanya wanatafuta mchumba wakakamata detail zake wakampa bonge la bit .. sas ahivi mwana hata JF haji tena
Utanhadithia vzr hii storyTISS at work... hii kitu ya wachumba wa JF ni mwiba sasa hivi .. kuna jamaa yangu wa jf alidakwa hiv hiv na hapa hapa.. alikuwa anatapika kama mange kumbe wanamchora tu.. wakajifanya wanatafuta mchumba wakakamata detail zake wakampa bonge la bit .. sas ahivi mwana hata JF haji tena
We gawa gawa tu namba. Utalia sikuUtanhadithia vzr hii story
Mmmmh mbilikimo mna majungu sanaWe gawa gawa tu namba. Utalia siku