Withcare
Member
- Aug 10, 2017
- 42
- 55
Halo Guys (Ladies and Gentlemen)
Kama uzi unavyojieleza,
Nimejitokeza hapa jukwani kutoa langu la moyoni
Incase kuna mdada umri chini ya miaka 28 anahitaji mchumba basi aniPM
Sifa: Awe mkristo
Umri (less than 28)
Elimu atleast kidato cha nne
Awe Dar es salaam/Mikoa jirani
NB: Tukipendana nitamjali daima
Nawasilisha..Mengine tutaongea PM kwa wenye nia
Kama uzi unavyojieleza,
Nimejitokeza hapa jukwani kutoa langu la moyoni
Incase kuna mdada umri chini ya miaka 28 anahitaji mchumba basi aniPM
Sifa: Awe mkristo
Umri (less than 28)
Elimu atleast kidato cha nne
Awe Dar es salaam/Mikoa jirani
NB: Tukipendana nitamjali daima
Nawasilisha..Mengine tutaongea PM kwa wenye nia