Mkuu acha tu,hadi naamua kuyakubali matokeo ujue I can't take it anymore.Ushauri wangu.
Naomba utueleze kwanini usiwe na uwezo wa kuzaa, watu wanaweza kukusaidia na mm pia nikakuelekeza kitu.
Tatizo nini kaka?
Naam mkuu kujikubali tatizo lako ni moja ya tiba pia Psychologically, mkuu kama ulivyojikubali tatizo lako ndo uelezee pia kipi kinakusibu. Yawezekana tumekutana hapa makusudi. Nothing possible under the sun.Mkuu acha tu,hadi naamua kuyakubali matokeo ujue I can't take it anymore.
Sutaki nijipe stress za kuzaa Tena.
Kujikubali na kukubali matokeo Yangu kutayafanya maisha Yangu yasiwe na presha ya kuzaa kutoka kwangu na jamii ndio maana natafuta ambaye yuko tayari kama mimi
Mkuu asante sana kwa kujali.Naam mkuu kujikubali tatizo lako ni moja ya tiba pia Psychologically, mkuu kama ulivyojikubali tatizo lako ndo uelezee pia kipi kinakusibu. Yawezekana tumekutana hapa makusudi. Nothing possible under the sun.
Nb. Naheshimu maamuzi yako pia ya kutosema tatizo lako.
Sijakata tamaa mkuu ila nimesema sitoweza kutia mimba kwa njia ya kawaida and yes kama nikiweza afford other options ntafanya.You are just 25 na umekata tamaa kabisa? Watoto ni zawadi, sayansi ni endelevu. Miaka 20 ijayo utakuwa 45, umeshawaza sayansi na teknolojia itakuwa imetufikisha wapi?
Tafuta mchumba atakaekukubali katika Hali zote huku ukiwa wazi kuhusu hizo changamoto zako za kiafya. Manake unahofia kuzaa, 5 yrs to come unaweza kukatika miguu yote ama kupofuka macho.
Nakutakia maisha marefu, afya njema na furaha
Sijakata tamaa mkuu ila nimesema sitoweza kutia mimba kwa njia ya kawaida and yes kama nikiweza afford other options ntafanya.
Ndio maana natafuta MTU ambaye mwenye hali kama hii ili tuweze kuishi bila kutiana presha ya uzazi na kuzaa.