Changamka mama [emoji1787]Mmnh
Hapo kwenye Bikra hujasema ni bikra ya wapi..?Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi na kufanya kazi Nairobi Kenya. Natafuta mchumba awe na sifa zifuatazo:
1. Umri kuanzia miaka 22 hadi 24.
2. Awe mkristo.
3. Awe na utayari wa kuolewa na kuishi Nairobi.
Vipaumbele vifuatavyo vitazingatiwa:
1. Awe ni mchaga kwa kabila.
2. Mweupe au maji ya kunde.
3. Bikra.
Dah umempa za usoMpaka Kenya nzima kukosa mke.una matatizo au wewe lofa wa kutupwa unadhani wanawake watababaika kwa kuwa wewe Mkenya mkaa Nairobi
Nairobi kuna maeneo ya malofa wakubwa duniani wanaishi Mathare
Mathare ni moja ya Slums kubwa zinazotambulika duniani wanakoishi maskini wa Nairobi
Na wewe waweza kuwa unaishi Mathare Nairobi ndio maana wamama wote wazuri wa Kenya wamekataa kuolewa na wewe .Lofa mkubwa wewe
Mkuu sikushangai sababu binadamu tunakuwa na mitazamo tofauti sana, Si kila anayeishi Nairobi ni mkenya. Inshort mm si mkenya bali ni mtanzania (mchaga halisi) ndio maana nimependelea kuoa nyumbani.Mpaka Kenya nzima kukosa mke.una matatizo au wewe lofa wa kutupwa unadhani wanawake watababaika kwa kuwa wewe Mkenya mkaa Nairobi
Nairobi kuna maeneo ya malofa wakubwa duniani wanaishi Mathare
Mathare ni moja ya Slums kubwa zinazotambulika duniani wanakoishi maskini wa Nairobi
Na wewe waweza kuwa unaishi Mathare Nairobi ndio maana wamama wote wazuri wa Kenya wamekataa kuolewa na wewe .Lofa mkubwa wewe