Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
nimechoka kuishi mpweke na kazi zangu za kukaa kwemye computer nakosa muda wa kutafuta mchumba ambaye atakuwa mke wangu,nimeamua kujaribu bahati yangu apa kama naweza pata mchumba awe binti,umri usizid miaka 25,awe mcha mungu na mchapa kazi asiyeamin kufanikiwa adi uajiriwe.
ukiwa na swali lolote unaweza niuliza,naamin nitapata mchumba mwema apa
ukiwa na swali lolote unaweza niuliza,naamin nitapata mchumba mwema apa