Duh hapo kuna changamoto mkuu, hawa watoto wa siku hizi hawa!Elimu yangu ni degree moja nilihitimu mwaka 2015 lakini mpaka sasa nasubir ajira
Mkuu Maelezo yako ndo yanaonyesha hivyoHapana mkuu
Hapana mkuu nipo serious kwa hilo
Dah.... Ndiyo anatafuta hapa chief..... Hujaona ...."awe anafanya kazi tusaidiane "[emoji13] [emoji13]Mr degree tafuta namna ya kapata kipato kwanza, hiyo Familia utailisha pumba?