Natafuta mchumba (mke)

J4zo

New Member
Joined
Aug 6, 2019
Posts
4
Reaction score
3
Natafuta mchumba. Sifa zangu: maji ya kunde, miaka 32, nina degree ya mtaani, sijaajiriwa, mfanyabiashara: sifa za mke: maji ya kunde, miaka 20-25, kidato cha nne lakini awe na taaluma ya dawa za binadamu, mkristu, awe na uwezo wa kuishi hata kijijini. Kwa aliye serious ani PM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…