may be my dream girl yuko humu JF who knows?:A S-heart-2::A S-heart-2:
May be your dream girl hayuko humu JF, who knows?
Mimi ni mwanaume,umri wangu ni miaka 28,elimu yangu ni ya chuo kikuu (masterz),ni mwajiriwa,
natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 20-30,dini yoyote ile,rangi yoyote ile,sio lazima awe anafanya kazi,elimu kuanzia form six na kuendelea,asiwe bonge au mwembamba sana, yeyote aliye serious aniPM for more conversations.
NB: Mimi sio domozege,ila nimeamua kutumia hii platform kama njia ya kuexpand my choices, may be my dream girl yuko humu JF who knows?:A S-heart-2::A S-heart-2:[/QUOT
Mimi ni mwanaume,umri wangu ni miaka 28,elimu yangu ni ya chuo kikuu (masterz),ni mwajiriwa,
natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 20-30,dini yoyote ile,rangi yoyote ile,sio lazima awe anafanya kazi,elimu kuanzia form six na kuendelea,asiwe bonge au mwembamba sana, yeyote aliye serious aniPM for more conversations.
NB: Mimi sio domozege,ila nimeamua kutumia hii platform kama njia ya kuexpand my choices, may be my dream girl yuko humu JF who knows?:A S-heart-2::A S-heart-2:
Mimi ni mwanaume,umri wangu ni miaka 28,elimu yangu ni ya chuo kikuu (masterz),ni mwajiriwa,
natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 20-30,dini yoyote ile,rangi yoyote ile,sio lazima awe anafanya kazi,elimu kuanzia form six na kuendelea,asiwe bonge au mwembamba sana, yeyote aliye serious aniPM for more conversations.
NB: Mimi sio domozege,ila nimeamua kutumia hii platform kama njia ya kuexpand my choices, may be my dream girl yuko humu JF who knows?:A S-heart-2::A S-heart-2:
[/COLOR]
kwani nani amekwambia kuwa wanaotafuta wachumba kwa njia uliyotumia ndio domo zege kama ulivyoandika hapo kwenye nyekundu sasa yawezekana wewe ni domo zege kweli jaribu kwenye makanisa napo kuna wachumba wengi tu kwenye maharusi msibani ila uwe makini na huko vyuoni wapo na siyo JF hapa yapo mengi yaliyoshindikana ila kama ya kugegeda yapo ila yakuoa sidhani
NB: siyo kila mwanamke anafaa kuwa mke