hapo kwenye RED, sijui nikupe hongera au thanks,
any way, natumaini utapata roho yako inachohitaji...ni vyema ungemtaarifu huyo aliyekuwa mpenzi wako ili awe makini siku zote, maana kama alikuwa tayari kwako, anaweza kuwa tayari kwa mwingine..
Ingekuwa busara zaidi kama ungemfahamisha huyo mchumba ako wa mwanzo, kuliko kutoka mbio na sababu zingine, kama umeweza kuweka hii kitu hapa jamvini umeogopa nini kumwambia mchumba kwamba wewe ni muathirika??anyway kama alikuelewa its fine bt nahisi ume''break her heart indeed''.
uliupataj pataje? pole sana ndugu yangu .
Swali gumu kidogo sina uhakika kama ni saluni au mchumba wangu wa awali ambaye alikufa kwa ajali ya gari. Nasema hivyo kwa sababu kabla hatujakutana kimwili tuliwahi kupima na wote tulikuwa hatuna maambukizi na sijawahi kukutana kimwili na yeyote baada ya kupima zaidi ya yule marehemu.
Popote ulipo nenda ktk hospital uliza ward za waathirika/wenye ukimwi watakuonyesha jichagulie mwenyewe! Au nenda tume ya kudhibiti ukimwi watakusaidia kumpata mwandani wako!
Popote ulipo nenda ktk hospital uliza ward za waathirika/wenye ukimwi watakuonyesha jichagulie mwenyewe! Au nenda tume ya kudhibiti ukimwi watakusaidia kumpata mwandani wako!
Swali gumu kidogo sina uhakika kama ni saluni au mchumba wangu wa awali ambaye alikufa kwa ajali ya gari. Nasema hivyo kwa sababu kabla hatujakutana kimwili tuliwahi kupima na wote tulikuwa hatuna maambukizi na sijawahi kukutana kimwili na yeyote baada ya kupima zaidi ya yule marehemu.
Nina umri wa miaka 35 natafuta mchumba ambaye ni muathirika. Mimi mwenyewe ni muathirika nimegundulika mwaka huu mwezi Feb. Kazi yangu ni mfanyabiashara.
Pole sana mkuu, lakini hapo kwenye red mkuu, umenishtusha sana, hivi saluni nazo zinachangia maambukizi? ni hatari eeh!
hizi tetesi za saluni nilizisikiaga siku nyingi. Watalaam tunaomba msimamo wenu mtushushe pressure tafadhali