Natafuta mchumba Muislamu

Amjadey

Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
83
Reaction score
31
Assalam alykum warahmatullahi wabarakatuh.
Mimi ni mwanaume
Umri ni 29
Muislamu
Nimesha ajiriwa

Nahitaji mwanamke ambae awe mke wangu wa ndoa akiwa Muislamu itapendeza zaidi.

Awe na umri usiozid 21 hadi 25. Awe ametulia kiakili na kifikra sio lazima awe ameolewa, napendelea awe mama wa nyumbani alee familia yetu

Kwa aliyetayari nifuate inbox

"Na tembeeni katika ardhi na mutafute fadhila za Mwenyezimungu"

Salaam
 
Reactions: Sax
Kila la kheri...
 
Sio lazima awe ameolewa? Fafanua hapo mkuu
 
mkuu kwa umri wako usioe mwanamke mwenye zaidi ya miaka 22 then thank me later...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…