Ngumu sana,mwanaume anayekufaa huku hawezi kupatikana kirahisi, hivi kwenye nyumba za ibada umekosa,shuleni pia,kazini,kwenye daladala,mtaani kwako pia umekosa! Unategemea kumpata mwnaume wa kwenye mtandao kweli utatoboa? Huku siko kabisa labda ue mcharuko, vijana wa leo wamekosa malezi bora elewa mjini kila mtu kaja kivyake! Kuna aliyeua mzazi kakimbilia mjini je utamweza?
wapo bana usimkatishe tamaa mwenzako
</p>matangazo yakutafuta wenza yanawekwa kila siku na sio jambo baya tatizo sijawahi kuona hata mmoja akirudi kutuambia kapata mwenza.</p>
<p>sasa najiuliza huwa hawapati au wanapata lkn hawaoni sbb za kurudi kututaarifa na kuishukuru jf kwa ujumla au ni vipi?</p>
<p>pamoja na hayo kila la kheri mtoa mada mungu ajibu haja ya moyo wako.
Nimempatia humu humu mpendwa,
Wala sikuweka tangazo, kwa neema tu yani.
Naitwa Amina,naishi dar,umri wngu miaka 26, ni muislamu,sijaolewa wala sijazaa,natafuta mchumba ambae atakuwa mume wangu, mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 35,awe mcheshi,mwenye hekima,mpole, awe anafanyakazi,awe mweupe,smart,mrefu kiasi,aliyetayari kupima,awe muislamu,yoyote aliyetayari tafadhali tuwasiliane.
Hapo umeshanikosa....! Kila la heri ....!Naitwa Amina,naishi dar,umri wngu miaka 26, ni muislamu,sijaolewa wala sijazaa,natafuta mchumba ambae atakuwa mume wangu, mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 35,awe mcheshi,mwenye hekima,mpole, awe anafanyakazi,awe mweupe,smart,mrefu kiasi,aliyetayari kupima,awe muislamu,yoyote aliyetayari tafadhali tuwasiliane.
Naitwa Amina,naishi dar,umri wngu miaka 26, ni muislamu,sijaolewa wala sijazaa,natafuta mchumba ambae atakuwa mume wangu, mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 35,awe mcheshi,mwenye hekima,mpole, awe anafanyakazi,awe mweupe,smart,mrefu kiasi,aliyetayari kupima,awe muislamu,yoyote aliyetayari tafadhali tuwasiliane.
Naunga mkono,mbona profile ya amina iko low sana haina hivyo vitu muhimu kwa kuongezea atujuze pia eleimu yake,yeye ni mkali au mpole,mcheshi au mkimya,ashawahi kuchakachua au bado na kama tayari kama kuna abortion ni ngapi nk.baada ya hapo nitakuwa tayari kuleta maombi.Yawezekana yeye potabo mtu anataka mwenye wowowo na vice versa.....!!!pamoja na kuwa umesema una miaka 26, hujazaa, Je wewe ni mweupe/mweusi, mnene/mwembamba, mrefu/mfupi, unafanyakazi au mama wa nyumbani?
Naitwa Amina,naishi dar,umri wngu miaka 26, ni muislamu,sijaolewa wala sijazaa,natafuta mchumba ambae atakuwa mume wangu, mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 35,awe mcheshi,mwenye hekima,mpole, awe anafanyakazi,awe mweupe,smart,mrefu kiasi,aliyetayari kupima,awe muislamu,yoyote aliyetayari tafadhali tuwasiliane.
Hahahahahahaha!Mpendwa asante kwakunipa kicheko changu cha kwanza siku hii ya leo!Najaribu kuchanya karata zangu vizuri ili nisipate garasha!
Inafurahisha usipate garasha? haya bana
We unataka ifurahishe kupata eh?
Nafurahi umefurahi!Mungu anamsaidia yule anaejisaidia mwenyewe..usipokua makini hawezi kukulazimishia!Ha,haaa umenifurahisha kwa huo msemo tuu ila Mungu ndie muongozo wa yote uwezi jua mrembo
Inawezekana ikawa kweli!Mimi nina sifa zote hizo.
Ila kama kungekuwepo na mashine ya kupima kama umetoa mimba ngapi ningekubali.
Maana najua sitakukuta bikra.
Inawezekana ikawa kweli!