Natafuta mchumba/mume

Mimi nina sifa zote hizo.
Ila kama kungekuwepo na mashine ya kupima kama umetoa mimba ngapi ningekubali.
Maana najua sitakukuta bikra.

khaaa! Hii sijui dharau, mashauzi, ukosefu ni nidhamu..... Sijui yote majibu....
 
hata kwenye ndoa ni udini tu, sasa sisi wakristo itakuwaje?

Wakwetu tunatafuta kwanza kwa kumwomba Mungu, kwani umesahau kuwa mke mwema anatoka kwa Bwana MUNGU? Usikonde ndg yangu maana wa kwako Mungu kakuandalia tayari! Mke hadi ijulikane kapatinana JF?
 
Wachumba pia wanapatikana humu hii longolongo embu watu watupe ushuhuda wa hili ili wengine pia tukiamua tuwe na nguvu ya hoja
 
sasa wewe unatafuta kutape;iwa hii cv mbona umetoa summary ya summary,iboreshe zaidi, hutaki kujua kama kwao wana;
-Kisukari, kichaa, kufa mapema, magonjwa ya damu,macho etc, etc

haya mawazo !
 
we da lizzy ivi kweli hiyo ni sura yako au na kama ni yako basi mimi nakutaka wewe unaonaje ? usidhani utani kama uko serious !
 
we Lizzy unapatikana wapi maana nimepitia msg zako nimeona kuwa waweza kuwa rafiki kwenye JF. nipe contact zako zangu 0719771022
 
Lizzy habari za JF kwa kweli inavyoonyesha upo makini kama uko tayari tukutane niambie !
 
ni jambo jema kujuana kwanza kwa simu kisha ana kwa ana, hii ndiyo pekee inaonyesha seriousness ya mtu mwongo utamjua tu !
 
jamani unaweza ukazani ni utani lakini mtu anaweza kuwa seriuos na hili.
 
kila kitu kina mwanzo wake mwanzo wa kupenda ni kusikia au kuona, lakini watu kwenye JF bado wanaleta utani fulani wakati mtu anayetoa mada yake inawezekana yuko seriuos. tuheshimu hisia zake ! hisia zangu ziko kwa Lizzy kama atakuwa radhi !
 
mina are you serious?
whats your carieer?
may be we should contact by now :A S-key: open the door! rit
 
Mambo vp Amina? Mimi nipo tayari kupima na kukuoa,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30,ni mwenyeji wa Tanga,ni mtumishi wa serikali .upo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…