Natafuta mchumba/ mume

Ina maana we are so busy mpaka hatuwezi kukutana na kuchaguana pale tunapoona ni muafaka? But I learned one thing in life...times change therefore I must be flexible in order to accomodate the changes. Probably this works out well for some people!
Kuna wachache wamefanikiwa na wengi wamelizwa...Hata hivo nadhani hii njia hutumika pale ambapo njia nyingine zinaelekea kutozaa matunda (may be you lost many opportunities)..Kwa wenzetu wazungu ina work kwa kuwa huwa hawatembeleani,hawaendi kanisani na kazini hawaruhusiwi kuuza kahawa ni kazi kwa kwenda mbele..
Na siku hizi zipo online dating za kulipia ambazo unatoa details za ukweli na zinakuwa secured..
 
 
That is a business opportunity Zion Daughter...lets invest quickly before GP na magazeti yao ya udaku, spot it and make money out of it....

Ahahahaaa.Hiyo ni kweli..Na ni kweli Shigongo bado hajaistukia..Lakn tunakoelekea lazima hii biashara itakuwa inalipa..
 
pole so contact me cellphone.leave sms tu;0753-873-610..tumain
 
Probably it can work...ingawa huwa na shida sana na hii approach!

Hunishindi mie. Huwa najaribu kufikiria shida ni nini hasa? Kama tunakosea hata pale unapochagua kwa kuona na macho je kwa njia hii? Huenda nimezeeka sana! Inabidi tu kukubaliana na mabadiliko katika maisha na maendeleo kwa ujumla.
 
kila la heri but kuwa makini
 
Hunishindi mie. Huwa najaribu kufikiria shida ni nini hasa? Kama tunakosea hata pale unapochagua kwa kuona na macho je kwa njia hii? Huenda nimezeeka sana! Inabidi tu kukubaliana na mabadiliko katika maisha na maendeleo kwa ujumla.

Ndo maana inakuwa vema kujua nini hasa sababu inayopelekea njia hii kuwa njia mbadala ya zile za kawaida tulizozizoea. I think wengine wana majukumu mazito sana hawana social life kabisa... Halafu angalia maneno yako hayo...uzee mwisho Chalinze huku mjini hakuna mzee.
 
Sisi wengine ndio kilasiku hatuna bahati humu, ningekutafuta bibie ila ndio hivyo tena I'm out of range......nakutakia kila la kheri lakini
 

Ambao tunatokea Zanzibar uzee mwisho wapi?
 
Tatizo kuna midume nayo inatafuta wachumba wa kiume sijui nitaaminije kama huyu ni she.
 
Kila la kheri Kalumbu huko mie cjafika bado
 
hakika hii ndiyo jf..mitandao ya kijamii tunatafuta na kupata wake/waume humu humu....

all the best
 
Ina maana we are so busy mpaka hatuwezi kukutana na kuchaguana pale tunapoona ni muafaka? But I learned one thing in life...times change therefore I must be flexible in order to accomodate the changes. Probably this works out well for some people!
27yrs a chuo kikuu coleague more than 20r exactly 3yrs ,anafanya kazi hajakutana tu na isembwe lake tu jamani.
 
27yrs a chuo kikuu coleague more than 20r exactly 3yrs ,anafanya kazi hajakutana tu na isembwe lake tu jamani.

No idea...sijui hata inakuwaje these days...but our well wishing is required for her to keep the momentum going!
 
Mi kusema kweli natafuta mke, ila ndo sijatulia. Yaani ni "machokuona" original. But utapata tu best!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…