Natafuta mchumba/mume

Angalieni msije mka date na dada zenu wa kuzaliwa. Wizi mtupu hapa jf.
 

ulitaka aseme ana matiti makubwa, mahips na ******?
 
wewe mdini sana. Lazima awe mkristo? Mimi nakutaka lkn usilimu
Mh! Karibu MS, nilijua tu kwamba itakuwa hivi kwako, na nilimwambia huyu dada maskini kuwa ustaadh MS hatokubali ubaguzi huu! but utamchilimichaaaa eh! MS wee, lah akikataa kuchilimu bac waweza mua-approach da Nilha, tena msomi kama huyo wa Al madrasatul-Sharja Isl. University!
 
mi nawaambia huu uchumba wa mitandao na soft copy tutakuja tulaumiane
 

Hivi MS ni mwanaume au Demu??
 
Mm khalifa Saidi (28) najitokeza natafuta mchumba msichana muislam umri 18 - 22, awe mweupe wa asili, mwembamba ila napenda sura nzuri, shep inamata, aliotayari anitafute kupitia 0689 857 985, Email: halsalha2012@gmail.com. mm ni maji ya kunde, sio mnene,mrefu wastani, maisha ninayoishi ya kawaida mm sio tajiri, nimejiari, kwa mkiristu kama atapenda kubadili dini poa. Nina amini mchumba anatoka popote hata bar inawezekana.
 

habari yako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…