Ryoba Warioba
Senior Member
- Sep 1, 2013
- 199
- 170
kusomana tabia kama kweli unafaa/ au nafaa kuwa mumeo,awe ni mwenye akili safi na heshima ya kufaa kuitwa mke wa fulani. Awe tayari kupima afya, umri ni miaka 18-27 sichagi dini, kwani hiyo ni hiyari ya mtu. Awe amemaliza angalau elimu ya kidato cha 4 au mjasiliamali wa kawaida, kwa atakae kuwa tayari anaweza kuni pm ili nimpe mawasiliano na kuweza kuonana ikiwezekana. Asanteni kwa kutoa muda wako kusoma haya machache, na bwana awe nanyi.