Natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mume wangu
sifa zangu
mimi ni msichana, nina miaka 27 nina shahada ya pili ya sheria (masters) sm 180 urefu, 70KG UZITO , MWEUPE NATURAL SIO MKOROGO.
Na hitaji mwaume ( mchumba) SIFA UMRI MIAKA 28-35 MREFU, MNENE WA WASTAN, ASIWE NA KITAMBI, ELIMU ANGALAU DASASA LA SABA ILA AWE ANAJUA MAHESABU ILI AWEZE KUSIMAMIA MIRAD YE2 ANBAYO NIMESHAIANZISHA KWANI KILA NILICHONACHO SASA NI CHAKWE2 MIMI NA yeye. AMBAO MPO SERIOUS MNI PM. Sibagui, kabla, rang wala dini.
embu weka wazi hizo investment kama zinalipa niku PM saivi inawezekana unamaslahi! mtazamo tu dada kila la kheri kwenye mchakato wa kumpata mume/manager wako.
in short nina hotel kubwa pale mkoani Arusha. Inanipatia kipato kizuri sana kwani kupitia faida hiyo nimeweza kuanzisha shule ya English medium ambayo kwa sasa ina class three, pia nina duka la simu na vito vya dhamani lipo Mkoani Kilimanjaro
lakini huyu atakuwa na agenda yake yasiri maana kajoin JF jana na post ya kwanza ni kutafuta mchumba, au kaambia JF ni kampuni ya kukutafutia watu wachumba kama ilivyokuwa inonyeshwa kwenye ile movie ya kichina ya kiswahili? Jf is not a Chinese company to enable un married couples to meet
in short nina hotel kubwa pale mkoani Arusha. Inanipatia kipato kizuri sana kwani kupitia faida hiyo nimeweza kuanzisha shule ya English medium ambayo kwa sasa ina class three, pia nina duka la simu na vito vya dhamani lipo Mkoani Kilimanjaro
Mimi tayari nina mke, je unakubali kuwa mke wa pili nikupm?Natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mume wangu
sifa zangu
mimi ni msichana, nina miaka 27 nina shahada ya pili ya sheria (masters) sm 180 urefu, 70KG UZITO , MWEUPE NATURAL SIO MKOROGO.
Na hitaji mwaume ( mchumba) SIFA UMRI MIAKA 28-35 MREFU, MNENE WA WASTAN, ASIWE NA KITAMBI, ELIMU ANGALAU DASASA LA SABA ILA AWE ANAJUA MAHESABU ILI AWEZE KUSIMAMIA MIRAD YE2 ANBAYO NIMESHAIANZISHA KWANI KILA NILICHONACHO SASA NI CHAKWE2 MIMI NA yeye. AMBAO MPO SERIOUS MNI PM. Sibagui, kabla, rang wala dini.
Mimi tayari nina mke, je unakubali kuwa mke wa pili nikupm?
Natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mume wangu
sifa zangu
mimi ni msichana, nina miaka 27 nina shahada ya pili ya sheria (masters) sm 180 urefu, 70KG UZITO , MWEUPE NATURAL SIO MKOROGO.
Na hitaji mwaume ( mchumba) SIFA UMRI MIAKA 28-35 MREFU, MNENE WA WASTAN, ASIWE NA KITAMBI, ELIMU ANGALAU DASASA LA SABA ILA AWE ANAJUA MAHESABU ILI AWEZE KUSIMAMIA MIRAD YE2 ANBAYO NIMESHAIANZISHA KWANI KILA NILICHONACHO SASA NI CHAKWE2 MIMI NA yeye. AMBAO MPO SERIOUS MNI PM. Sibagui, kabla, rang wala dini.