Kidawa_hiphop
Senior Member
- Jul 7, 2018
- 184
- 274
Nilikuwa busy na shuleimekuaje mpaka mda huu jimbo liko sasa
Madem wanaokula mirungi kama vile mchicha roast?Hapo chuga mademu kibao mzee
Kama ndo umemaliza fofoo sawaNilikuwa busy na shule
πππ memaliza chuchuuKama ndo umemaliza fofoo sawa
Hahah itabid nikione iko chuchuu ulichosomaπππ memaliza chuchuu
Mimi huwa sipendi kwenda na upepo mdada..tafuta kitu kingine tufanye keshoMchumba kwanza kuna namba zinauzwa za kill marathon
Twende kesho tukapimane pumzi kama tutafaana
πππ
Fanya kweli sasa mkuu..Mkuu kama upo siriazi nikupe mchumba wa kimarangu yupo hapo lanya.