Natafuta mchumba wa kike age 18_25

Natafuta mchumba wa kike age 18_25

enjai ya kyasha

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2017
Posts
3,089
Reaction score
3,634
Wakuu waswahili husema mficha uchi hazai, nami nimeamua kuufuata msemo huu wa wahenga maana naona mambo yanakuwa sio.
Am gentleman aged 25 natafta mchumba wa kuyajenga naye na ikibidi kuoana.Awe msafi msitaarabu mengine tutarekebishana ila kwa aliye Mwanza itapendeza zaidi maana nami Niko Mwanza, kwa hiyo wadada wa humu jf kama uko willing njoo pm tuyajenge.
 
enjai ya kyasha ,
Mkuu,

Haaa haaa haaa haa,
Ugumile kasigazi!?

Umeshindwa kupata Kagera nzima mdada hadi uje kumtafutia Mwanza kupitia JF platform!?

Awamu hii kazi ipo kwa vijana hapo Tanzania.
 
Mmmh.. Kumbe siku hizi wachumba wanatafutwa hivi?!!
 
enjai ya kyasha ,
Mkuu,

Haaa haaa haaa haa,
Ugumile kasigazi!?

Umeshindwa kupata Kagera nzima mdada hadi uje kumtafutia Mwanza kupitia JF platform!?

Awamu hii kazi ipo kwa vijana hapo Tanzania.
Hahahahaha ahosi noyenda male omwaka ntakandikaga omu.
Abakazi titubahigila kunu kununja twija kuchangamsha ekijiwe.
 
Back
Top Bottom