Natafuta mchumba wa kike, umri kuanzia miaka 21

Natafuta mchumba wa kike, umri kuanzia miaka 21

Olivier goetzl

New Member
Joined
Nov 7, 2020
Posts
2
Reaction score
2
Natafuta mchumba wa kike ambaye aliye ni muelewa awe maeneo ya Pwani hususani Dar es Salaam au Bagamoyo

Mwenye upendo wa kweli umri wake uanzie miaka 21 na kuendelea dini awe mkristo itapendeza zaidi awe tayari kuja tuishi wote Bagamoyo.

Kwa maelezo zaidi aje PM
 
Back
Top Bottom