Natafuta mchumba wa kike

Natafuta mchumba wa kike

GREAT IDEAS

Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
30
Reaction score
5
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 mwajiriwa katika private sector ninatafuta binti wa kuchumbia ili baadae awe mke wangu wa maisha.
Sifa za binti
Awe mcha Mungu,
Amemaliza kidato cha nne na kuendelea,
Awe mzaliwa wa Arusha, Tanga, Kilimanjaro,
Awe mpenda maendeleo,
Umri ni kuanzia miaka 20 hadi 30,
Ambaye hajawahi kuzaa
Kwa maelezo zaidi njoo pm
 
Masikini nimekosa mume apo pa arusha ,tanga ma kr [emoji41][emoji41]
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 mwajiriwa katika private sector ninatafuta binti wa kuchumbia ili baadae awe mke wangu wa maisha.
Sifa za binti
Awe mcha Mungu,
Amemaliza kidato cha nne na kuendelea,
Awe mzaliwa wa Arusha, Tanga, Kilimanjaro,
Awe mpenda maendeleo,
Umri ni kuanzia miaka 20 hadi 30,
Ambaye hajawahi kuzaa
Kwa maelezo zaidi njoo pm
Sisi wa kanda ya ziwa tunakomenti wapi?
 
Back
Top Bottom