GREAT IDEAS
Member
- Jul 19, 2013
- 30
- 5
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 mwajiriwa katika private sector ninatafuta binti wa kuchumbia ili baadae awe mke wangu wa maisha.
Sifa za binti
Awe mcha Mungu,
Amemaliza kidato cha nne na kuendelea,
Awe mzaliwa wa Arusha, Tanga, Kilimanjaro,
Awe mpenda maendeleo,
Umri ni kuanzia miaka 20 hadi 30,
Ambaye hajawahi kuzaa
Kwa maelezo zaidi njoo pm
Sifa za binti
Awe mcha Mungu,
Amemaliza kidato cha nne na kuendelea,
Awe mzaliwa wa Arusha, Tanga, Kilimanjaro,
Awe mpenda maendeleo,
Umri ni kuanzia miaka 20 hadi 30,
Ambaye hajawahi kuzaa
Kwa maelezo zaidi njoo pm