Habari za uzima wakuu? Natafuta binti mwenye sifa zifuatazo:
- Umri chini ya miaka 30,
- Awe na utu,uvumilivu na upendo.
- Elimu kuanzia kidato cha nne.
- Awe tayari kuishi dsm.
- Kimo kuanzia futi 4ft 9'
- Rangi yoyote,dini yoyote.
- Awe na matumaini ya upendo na kujenga familia hata kama kaumizwa kwenye historia yake
- Nina miaka 29,
- Mweusi,
- kimo changu ni 6ft kasoro,
- Mwembamba,
- Mkristo.