Natafuta mchumba wa kike

Kidogo mokasi

New Member
Joined
Mar 10, 2020
Posts
3
Reaction score
1
Habari zenu WanaJF, naandika ujumbe huu kwenu nikiwa najitambua, Mimi kijana nina miaka 24 natafuta mchumba bila kutania, Binti alioko tayari kuanzisha mahusiano ya kweli na mimi namkaribisha, awe mcha Mungu, umri Kati ya 19-23, ajue kusoma na kuandika, mweusi kidogo pia mtafutaji.[emoji1545]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…