Ndugu wanaJF naomba kuwasilisha hoja yangu ya msingi kwa kile kinachonisibu, mimi ni kijana wa kiume natafuta mchumba na hatimaye awe mke wa kuoa therefore kwa yeyote yule aliye tayari tuwasiliane na awe na mapenzi ya dhati asiwe muongo awe mkweli.
Ndugu wanaJF naomba kuwasilisha hoja yangu ya msingi kwa kile kinachonisibu, mimi ni kijana wa kiume natafuta mchumba na hatimaye awe mke wa kuoa therefore kwa yeyote yule aliye tayari tuwasiliane na awe na mapenzi ya dhati asiwe muongo awe mkweli.
Kama hiyo Avatar yako inawakilisha sura yako, mimi niko tayari kabisaaa kuwa mchumba wako.. Ni PM..
Mwanamme sio sura bali kazi na kuingia bank kudeposit au kuchukua ngawila.
Ndugu wanaJF naomba kuwasilisha hoja yangu ya msingi kwa kile kinachonisibu, mimi ni kijana wa kiume natafuta mchumba na hatimaye awe mke wa kuoa therefore kwa yeyote yule aliye tayari tuwasiliane na awe na mapenzi ya dhati asiwe muongo awe mkweli.