big result now
Senior Member
- Sep 8, 2013
- 107
- 70
mkuu nimeshituka wewe utakua ndo mwenye wilaya yake umeanza kulifanyia kazi agizo la mkuuKijana wa miaka 33, nipo Dodoma mjini, muajiriwa.
Natafuta mchumba kati ya miaka 25 mpaka 30.
Kwa yeyote aliyetayari karibu PM
mkuu nimeshituka wewe utakua ndo mwenye wilaya yake umeanza kulifanyia kazi agizo la mkuu
kila la heri......................., lkn usisahau kupita mipango
Una nini wewe?[emoji3]
Mimi ni kijana wa kitanzania,nina umri wa miaka 26, ninaishi Mbeya kwa sasa na ni mkristo kwa dini, elimu yangu ni ya chuo(degree), sina kazi bado naangaika na maisha najishughulisha na shughuli zangu binafsi huku nikiangalia ni wapi pa kutokea, nahitaji msichana kati ya miaka 20 - 24, tutaanza kwanza kuwa marafiki kama tutakubaliana na kuona inafaa kuwa wapenzi itakuwa poa. Siahidi ndoa ila kama vigezo vitaendana na urafiki ukidumu na kufika mbali itakuwa poa, nakaribisha PM na kila kitu tutamalizana huko kiroho safi.
Sex Ideology in Econometrics analysis ( Why Gay ideology "Not You Wanted behavior" when come on sexual matter everyone has his/her behaviormbona huweki sifa za unayemtafuta?
Sex Ideology in Econometrics analysis ( Why Gay ideology "Not You Wanted behavior" when come on sexual matter everyone has his/her behaviorMtajuana zaidi kwenye PM? Sasa kuna umuhimu gani wa kuanzisha thread,ungemtafuta huyu mchumba kwa PM badala ya kujaza ma-threads
Unakosaje mke Dom watoto wazuri wako UDOM pale, CBE wengine MipangoKijana wa miaka 33, nipo Dodoma mjini, muajiriwa.
Natafuta mchumba kati ya miaka 25 mpaka 30.
Kwa yeyote aliyetayari karibu PM
wametaka wenyeweUnakosaje mke Dom watoto wazuri wako UDOM pale, CBE wengine Mipango
Sent using Jamii Forums mobile app
Niombee nambaUna nini wewe?
Fursa hiyo mkuu....
Yan wewe tokea 2014 bado tu una tafuta? Unachokitafuta hasa ni kipi ulichokosa kwa ma Ex zako!!Kijana wa miaka 33, nipo Dodoma mjini, muajiriwa.
Natafuta mchumba kati ya miaka 25 mpaka 30.
Kwa yeyote aliyetayari karibu PM