Natafuta mchumba wa kiume

Natafuta mchumba wa kiume

kanso

Senior Member
Joined
Aug 30, 2017
Posts
115
Reaction score
116
Mmi ni Dada nina miaka 27 nina mtoto mmoja natafuta mwanaume Wa kujenga nae ndoa sifa zangu mim ni mpole mcha mungu mkalimu pia mwanaume ninae mtaka aweanajitambua mchapa kazi mwenye mapenz ya kweli karibu umri awe na kuanzia 29
 
Back
Top Bottom