1.JiaminiKuanzia 29 mwisho ngapi?
Nataka nijue ili muhenga nijiengue
Lakini si mnaendelea kuwasiliana kuhusu maswala ya mtoto?Tuliachana
Hofu yako nini? Kumegewa?Lakini si mnaendelea kuwasiliana kuhusu maswala ya mtoto?
Dah nimeshakukosa mkuu.Mwisho 35
Ndugu yangu haya mambo bana.Hofu yako nini? Kumegewa?
Najiamini mkuu ila ni vema kujua illi kupunguza idadi ya walionikataa 😀1.Jiamini
2. Zama imbobo
3. Ukikataliwa, jaribu kwingine.
Nina 42 tu 😀Una umri gani mkuu