Product
Member
- Sep 7, 2019
- 68
- 66
Mimi ni kijana wa takribani miaka 29 sasa,lengo la kuanzisha uzi huu wala si kitu kingine zaidi ya kutafuta mwenza ambae baadae atakuja kuwa Mke wangu
Najua kwa sasa atapopatikana kwasababu hatujajuana nitapenda tufahamiane kwanza,kwa kushirikiana katika biashara ndogo ndogo ninazofanya mimi
Kupitia biashara nitamfahmu anapenda nini na yeye atanifahamu napenda nini
SWALI : Atafanya biashara kama mfanyakazi au mpenzi?
JIBU : kwa mwanzo huu atakua na mimi kama patner tu kibiashara so kitakachopatikana jioni tutagawana 50/50
Tutakaporidhika na ushirikiano wetu katika maisha/biashara kwa ujumla ndio tutakua wapenzi RASMI.
SIFA:
Kabila : lolote
rangi : yeyote
Awe mpole
Asiwe maneno mengi
Ajue kuongea ninapokosea/sio nikosee yeye aniangalie tu HAPANA
Asiwe bonge/kibonge
Awe na umbo la kidada na sio kimama
Awe anasuka hata kama hasuki napenda asuke
Asiwe mpenda makucha wala makope bandia
Asiwe mrefu toluuuuuu..awe wastani kama wadada wengi wa sasa walivyo (sio mfupi wala mrefu)
DINI: MKRISTO
sifa zangu
dini: mkristo
Rangi: white maji yakunde (sijui hata nipoje poje)
Elimu: Form 4
Urfu: size wastani
Sio mnene ni mwembamba flani hivi
Mfanyabiashara
Sifa zingine tutaelezana kwa picha baada ya kukutana whatsapp huko,kwa yeyote alie serious naomba asisite kuja PM
NAPENDA mwanamke mchapakazi na asie chagua kazi...
Niko serious kuliko maelezo...
Asije pm mtu ambae hayupo serious au wa majaribio.
Asanteni kina dada.
WENU
KAKA MTAFUTA MWENZA
Najua kwa sasa atapopatikana kwasababu hatujajuana nitapenda tufahamiane kwanza,kwa kushirikiana katika biashara ndogo ndogo ninazofanya mimi
Kupitia biashara nitamfahmu anapenda nini na yeye atanifahamu napenda nini
SWALI : Atafanya biashara kama mfanyakazi au mpenzi?
JIBU : kwa mwanzo huu atakua na mimi kama patner tu kibiashara so kitakachopatikana jioni tutagawana 50/50
Tutakaporidhika na ushirikiano wetu katika maisha/biashara kwa ujumla ndio tutakua wapenzi RASMI.
SIFA:
Kabila : lolote
rangi : yeyote
Awe mpole
Asiwe maneno mengi
Ajue kuongea ninapokosea/sio nikosee yeye aniangalie tu HAPANA
Asiwe bonge/kibonge
Awe na umbo la kidada na sio kimama
Awe anasuka hata kama hasuki napenda asuke
Asiwe mpenda makucha wala makope bandia
Asiwe mrefu toluuuuuu..awe wastani kama wadada wengi wa sasa walivyo (sio mfupi wala mrefu)
DINI: MKRISTO
sifa zangu
dini: mkristo
Rangi: white maji yakunde (sijui hata nipoje poje)
Elimu: Form 4
Urfu: size wastani
Sio mnene ni mwembamba flani hivi
Mfanyabiashara
Sifa zingine tutaelezana kwa picha baada ya kukutana whatsapp huko,kwa yeyote alie serious naomba asisite kuja PM
NAPENDA mwanamke mchapakazi na asie chagua kazi...
Niko serious kuliko maelezo...
Asije pm mtu ambae hayupo serious au wa majaribio.
Asanteni kina dada.
WENU
KAKA MTAFUTA MWENZA