Kwa zama hizi ndoa ni ajira kama ajira zingineinekuwa mi ni wewe ningekula bata mpaka 25 ndiyo nitangaze
Bata gani hizo?inekuwa mi ni wewe ningekula bata mpaka 25 ndiyo nitangaze
kumbe basi sawa..Kwa zama hizi ndoa ni ajira kama ajira zingine
nothing is easier than blaming others for your own problems
aexplore life kwanza ajue mambo tofauti mangi halafu aoleweBata gani hizo?
halafu mtoto mbichi kabisa me na uzee huu nikiweka tangazo hapa naddhani mtaandamana sababu nitaomba uje na attachment ya bank statement na ole wako utengeneze fakeIla hajaweka kigezo chetu kileee: awe na pesa na ampe pesa, hahahahahahaahahahaahah
hahahahahahaahahahaha, au aje na andiko kabisa la kuonesha mtiririko wa biashara zake hahahah, ila wewe basi tu! hahahahahalafu mtoto mbichi kabisa me na uzee huu nikiweka tangazo hapa naddhani mtaandamana sababu nitaomba uje na attachment ya bank statement na ole wako utengeneze fake
tunaishi mara moja .. mkuu kuzaliwa na wazazi wangu sikuwa na uwezo wa kuchagua.. khee mtu wa kuishi naye pia nishindwe kuchagua acha tu wanione mbayahahahahahahaahahahaha, au aje na andiko kabisa la kuonesha mtiririko wa biashara zake hahahah, ila wewe basi tu! hahahaha
Utangaze kwani unakasoro gani? chema cha jiuza kibaya chajitembeza, kama mtoto amesimamia kucha kisha mtoto katulia yeye anakaa anachagua nani amuoe.inekuwa mi ni wewe ningekula bata mpaka 25 ndiyo nitangaze
naona kapata wasi wasi mapema labda kuna tatizoUtangaze kwani unakasoro gani? chema cha jiuza kibaya chajitembeza, kama mtoto amesimamia kucha kisha mtoto katulia yeye anakaa anachagua nani amuoe.