Natafuta mchumba wa kuoa kwa ndoa

Natafuta mchumba wa kuoa kwa ndoa

Steven Simon

Member
Joined
Sep 27, 2013
Posts
26
Reaction score
2
mi Steve najitokeza kwa mara nyingine natafuta msichana mweupe halisi, mwenye bikra, umri miaka 19 hadi 23 mkatoliki, aliyehitimu chuo au ameajiriwa, msukuma, mrefu wastani. Sifa zangu mweupe kiasi, miaka 28 nimeajiriwa, mkatoliki, mrefu wastani.
 
Last edited by a moderator:
Du...! Safi sana haina kuremba ni vigezo tuuu. Haya warembo wa KISUKUMA tu kazi kwenyu
 
Back
Top Bottom