Natafuta mchumba wa kuoa

Jawai

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2011
Posts
530
Reaction score
407
Habari za leo wana JF.
Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 25, mpole na mwenye hofu ya mungu, nina elimu ya chuo kikuu na nimeajiliwa. Natafuta mchumba mwenye umri wa miaka 19 - 23, elimu ya form 4 au 6, hawe tayari kusimamia biashara siku za baadae kama si muajiriwa, muislamu na sipendi anayevaa suruari. Kwa yeyote aliye tayari au mwenye ndugu yake anayekithi vigezo naomba ani PM kwa maelezo zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…