Hahahhaha umenikumbusha wakati nipo benki fulani K'njaro kama afisa mikopo mwanangu mmoja alitakaga demu wa namna hiyo akampata kitoto kizuri kinaitwa Vee hahahah mbona aliimba haleluyah.....mpaka nikamwambia jombaa hapo mpira lazima otherwise utaenda na umeme acha uboya ila pana totoz pasua kichwa..sasa ngoja upate kurumbembe wewe naona utaimba hosana hosana....!!mimi natafuta demu kicheche demu aliye shindikana
uyo akupata kicheche demu alie shindikana deme alie waikutoa mimba pindi nikitaka kumpiga chini anibembeleze nisimwache natena anililie,Hahahhaha umenikumbusha wakati nipo benki fulani K'njaro kama afisa mikopo mwanangu mmoja alitakaga demu wa namna hiyo akampata kitoto kizuri kinaitwa Vee hahahah mbona aliimba haleluyah.....mpaka nikamwambia jombaa hapo mpira lazima otherwise utaenda na umeme acha uboya ila pana totoz pasua kichwa..sasa ngoja upate kurumbembe wewe naona utaimba hosana hosana....!!
We unafanya kazi ganMimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Kujiuza kwa wafanyakaziWe unafanya kazi gan
Alikuwa mwanafunzi wa chuo cha ushirika moshi yaani alikuwa moto hatari.uyo akupata kicheche demu alie shindikana deme alie waikutoa mimba pindi nikitaka kumpiga chini anibembeleze nisimwache natena anililie,
alikua nwanafunzi nn uyo demu
😂 😂 😂 😂 😂Vigezo vyote unavyotaja vinafaa uwe n Mme wa mtu
Jitahidi kumuacha mume wa mwenzio na utubu ili Mungu akupatie mumeo, la sivyo utapata mume lakini atakuja binti mrembo nae atafanya kama wewe ulivyoanzisha mahusiano na mume wa mtuMimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Au kaedit?? Kila nikisoma hakuna matusi au macho yangu??Kama una matusi hivyo hunifahi.na sijaona hata afya ujali nataka mke lkn ww no
Katukanaje??! SiiiioniNina vigezo vyote ila tatizo hayo matusi ulitapika humu ngumu kumeza.
Ila usijali wapo wenye mioyo migumu utapata tu
Kaka Ushmen Ebu nidondosheee Hilo lithread lake la matusiNgoja nitunze akiba ya maneno kama nilivyo kuweka spare kulee...... ulipo dondokea kwenye penzi la mume wa mtu.
yanafutwa na moderatorsAu kaedit?? Kila nikisoma hakuna matusi au macho yangu??
Mapenzi ya mitandaoni yana maswahibu yakeMimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Nimeanguka kwenye penzi la mume wa mtuKaka Ushmen Ebu nidondosheee Hilo lithread lake la matusi
Mhhhh hivi vigezo kama unaomba mkopo bodiMimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni vyema ukaongeza kigezo cha kujua kiingereza na asiwe kilalaza
nina wasiwasi na hio id huenda akawa ni mselaMimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
[emoji23][emoji23][emoji23]Mhhhh hivi vigezo kama unaomba mkopo bodi