Natafuta mchumba Wa ndoa baadae

Natafuta mchumba Wa ndoa baadae

Mke mwema hatafutwi kwenye mitandao ya kijamii.Piga goti omba Mungu sana utampata.Ila kama unataka kichomi endelea kutafuta uku.
 
Mke anapatikana kokote mkuu, hata utakae omba kwa Mungu haitatokea asubuhi moja unamkuta chumbani halafu unaskia sauti kutoka mbinguni "huyu ndye mke ulie omba" mawazo mgando weng hudhan mke/mme mwema utampatia kanisan2.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke mwema hatafutwi kwenye mitandao ya kijamii.Piga goti omba Mungu sana utampata.Ila kama unataka kichomi endelea kutafuta uku.
[emoji116]
Mke anapatikana kokote mkuu, hata utakae omba kwa Mungu haitatokea asubuhi moja unamkuta chumbani halafu unaskia sauti kutoka mbinguni "huyu ndye mke ulie omba" mawazo mgando weng hudhan mke/mme mwema utampatia kanisan2.

Sent using Jamii Forums mobile app


-Ndumilakuwili-
 
Mke mwema hatafutwi kwenye mitandao ya kijamii.Piga goti omba Mungu sana utampata.Ila kama unataka kichomi endelea kutafuta uku.
Kichomi hupatikana popote,wapo walikutana kwenye mikesha makanisani lakini ndoa zao hazikudumu hata kwa miaka 2.
Mke mwema hutoka kwa Mungu haijalishi mmekutana wapi
 
Back
Top Bottom